HATIMAYE MPAMBANO WA WATANI WA JADI NUSU FAINALI KOMBE LA TUSKER UMAMALIZIKA BAADA YA KUCHEZWA KWA DAKIKA 120 NA YANGA KUIBUKA KIDEDEA KWA KUIFUNGA SIMBA BAO MBILI KWA MOJA 2 - 1,
MABAO YA YANGA YAMEFUNGWA NA JERRY TETEGE NA SHAMTE ALLY NA LA KUFUTA MACHOZI LA SIMBA LILILOPATIKANA KWA NJIA YA PENATI LIMEFUNGWA NA HILAL ECHESER.
HABARI NDO HIYO ANGALAU SIKUKUU INAKUWA NZURI AU MWASEMAJE, POLENI SANA WEKUNDU WA MSIMBAZI HUO NDO MPIRA
December 24, 2009
YANGA OYEEEEEEEEEEEE
HATIMAYE MPAMBANO WA WATANI WA JADI NUSU FAINALI KOMBE LA TUSKER UMAMALIZIKA BAADA YA KUCHEZWA KWA DAKIKA 120 NA YANGA KUIBUKA KIDEDEA KWA KUIFUNGA SIMBA BAO MBILI KWA MOJA 2 - 1,
MABAO YA YANGA YAMEFUNGWA NA JERRY TETEGE NA SHAMTE ALLY NA LA KUFUTA MACHOZI LA SIMBA LILILOPATIKANA KWA NJIA YA PENATI LIMEFUNGWA NA HILAL ECHESER.
HABARI NDO HIYO ANGALAU SIKUKUU INAKUWA NZURI AU MWASEMAJE, POLENI SANA WEKUNDU WA MSIMBAZI HUO NDO MPIRA
Kufungwa mtu ni lazima leo.
Mpambano wa watani wa Jadi utachezwa muda c mrefu, mashabiki na wapenzi wa timu zote viroho viko juu kwa mpambano huu, japo ni wa kombe la Tusker lakini wakutanapo watani hawa wa jadi huwa hakuna cha mechi ya kirafiki wa cha nini kwa timu mbili hizi ni kama fainali tu.
Yetu macho tu na Dakika tisini ndo mwamuzi, tofauti na mechi zote hii ni lazima afungwe mtu, yaani hakuna droo hapa. kaaaaaazi kweli kweli.
December 23, 2009
December 21, 2009
Picha hii yashika nafasi ya tano duniani.
Shirika la habari la Uholanzi Radio Netherlands Worldwide limeipa shavu picha hii na kushika nafasi ya tano katika shindano lake la hivi karibuni.An international jury of leading journalists has evaluated all the eligible entries, and the winner is Veena Krishna (39) from Mumbai. Her entry ‘To make the girl-child live’, consisting of a photograph and accompanying text, tackles the issue of child policy in India, where girls are considered inferior to boys. Her prize is an all-expenses-paid week’s internship at RNW’s international newsroom in the Netherlands.
RNW received 535 entries from around the world in response to the question ‘Share your world with the world... What do you want to change?’. The majority of entries came from Arabic and English-speaking countries and from Indonesia. The international jury of leading journalists awarded the second prize to Bai Xiaoci from China and the third prize to Eric Barrantes Garcia from Peru.
Jury chairman Rik Rensen, RNW’s editor-in-chief, commented that Veena Krishna’s seemingly simple photograph reveals an entire hidden world: “Her entry made a powerful impression on me, because it conceals a dramatic story.”
Other prizes Second prize, a digital video camera, goes to Bai Xiaoci from China for his photograph of a man carrying a huge load of chemical drums on his bicycle. Xiaoci’s photograph reminds us that China’s economic development has often taken place at the expense of the environment.
Eric Barrantes Garcia from Peru won the third prize, the choice of a reference book in the field of journalism. The jury noted that his photograph addresses three issues: the problem of poverty and its social consequences, social injustice and the precarious condition of this kind of construction in case of heavy rainfall caused by climate change.
The other nominees are:
- Winsley Masese Azael, Kenya (photo) Education opportunities for prisoners
- Bernard Rwebangira, Tanzania (photo) Transport for students
- Adilson Faxina, Curitiba, Brazil (photo) Social exclusion
December 18, 2009
Timu ya Eritrea yaingia mitini
Wachezaji wapatao 12 wa timu ya Eretrea iliyokuwa nbchini Kenya kushiliki michuano ya Challange yasemekana wameingia mitini au hawajulikani walipo.
isome hapa.
December 15, 2009
Dr Shein awasili Copenhagen
Wakti jana mkutatano wa mazingira huko Denmark ulipata kwikwi kwa muda baada ya nchi za Dunia ya tatu zikiongozwa na Africa kugomea kutoa ushirikiano, leo viongozi mbalimbali wameanza kuwasili kwaajili ya mkutano wa viongozi wa dunia kuhusu mabadiliko ya tabia nchi ambao utafanyika kesho. Finished my course......
I have fought a good fight, I have finished my course, I have kept the faith.
2 Timothy iv. 7
December 12, 2009
Hoseah na Feleshi, nani atwambii ukweli?
Membe amwita Balozi wa Canada
December 7, 2009
Rais anaposafilia daraja la tatu.
Sherehe za miaka 10 ya Nile Basin zaanza rasmi Dar
Makamu wa Rais Dk.Ali Mohamed Shein akiwa ktk picha ya pamoja na mawaziri wa maji wa Bonde la Mto Nile mara baada ya kufungua mkutano wa siku tatu wa Nchi Shiriki za Bonde la Mto Nile (Nile Basin Initiative) ulioambatana na sherehe za kutimia miaka 10 tokea kuundwa kwa Ushirika huo, mkutano huo utakaojadili juu ya mafanikio yaliyopatikana tokea kuanzishwa kwake, changamoto pamoja na matarajio ya baadae leo katika kituo cha mikutano cha Mlimani City jijini.
December 6, 2009
Wizara inapogeuzwa mradi wa familia
THE Government is investigating the education ministry permanent secretary, Francis Lubanga, over allegations of nepotism, fraud, malicious dismissal of subordinates and abuse of office levelled against him.
The report accuses Lubanga of replacing several employees in key positions with his relatives. It lists 30 employees at the ministry who are related to Lubanga, the majority of whom are said to have been irregularly hired or promoted.
Among those he allegedly hired are his sister, son, daughter, wife, uncle, nephew, as well as in-laws and other close family members. The 14-page dossier says Lubanga’s relatives have been put in charge of multi-million projects in different departments within the ministry.
source : Sunday vision
Kagame akutana na CEO wa TIGO
Kanisa USA lateua Shoga mwingine kuwa Askofu
Huyu ni askofu wa pili katika kanisa la Anglikana na anayehusishwa na mapenzi ya jinsia moja, jambo ambalo limesababisha mgawanyiko mkubwa katika kansia hilo.
Mchungaji Mary Glasspool, kutoka Baltimore, alichaguliwa kama askofu msaidizi, ingawa anahitaji kuungwa mkono na kanisa la Episcopal (Anglikana) nchini Marekani ili kikamilifu kukabidhiwa mamlaka hayo.
Gene Robinson (pichani) alikuwa wa kwanza kuchaguliwa kama askofu wa mapenzi ya jinsia moja, katika dayosisi ya New Hampshire, miaka sita iliyopita, na jambo hilo likasababisha mgawanyiko katika kanisa Anglikana.
source: BBC
December 3, 2009
Watanzania wanaisaidia Al Shabaab??
December 1, 2009
Familia ya Kingunge kunyang'anywa maegesho ya jiji
THE Dar es Salaam City Council is to take over operations of the National Parking System after expiry of the contract of the current operator, in a move aimed at studying the trend of the business, the City Director, Mr Bakari Kingobi, said.
The announcement comes shortly after the City fathers took over operations of Ubungo Bus Terminal (UBT), following the expiry of the Smart Holding Company's contract.
Owners of the Smart Holding Company are linked with the National Parking System.
Owners of the two companies are also connected to another company which is alleged to have won the tender to run Machinga Complex in the city.
Mawaziri na Makatibu Wakuu kunywanganywa Blackberry.
MPs on the public accounts committee yesterday ordered that ministers, permanent secretaries and MPs who got Black-Berry phones for use during the Commonwealth meeting in 2007 either pay for them or return them.
Meeting officials from the Ministry of Information and Communication Technology over the CHOGM expenditure, the MPs wondered why the ministry purchased 450 Black-Berry phones at a cost of over sh500m and distributed them free of charge.
The ministry’s permanent secretary, Jimmy Samanya, said the phone recipients included directors in several ministries, commissioners and chairpersons of parliamentary committees.
After CHOGM, he explained, the ministry debated whether to withdraw the phones but the decision was pending so he could not act. Now that the committee has directed, he said, he would seek payment or withdraw them.
But the MPs expressed concern that some officials could have sold off the phones while others may have been dropped from service or moved to new offices.
“Didn’t you think you were violating Government laws by buying equipment and donating it?” asked the lead counsel, Tom Kazibwe (NRM).
Ufisadi wa kila aina Africa, je tutafika kweli?
VIJANA WA KAZI WATAWEZA KUDHIBITI DALADALA?

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), umeipa rungu kampuni ya mnada ya Majembe Auction Mart kusimamia shughuli zote za usafiri wa daladala jijini Dar es Salaam.
Kampuni hiyo imepewa jukumu la kuhakikisha kuwa inawashughulikia madereva wachafu, wanaokatisha ruti, wanaopandisha nauli wakati wa usiku pamoja na kupita kwenye hifadhi ya barabara.
Aidha, makosa mengine ambayo kampuni hiyo itayashughulikia ni pamoja kukamata magari yaliyotoboka chini, wanayotoa moshi na mambo mengine yote yanayovunja sheria za barabarani.
Uamuzi huo ulitangazwa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra, Israeli Sekilasa, alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Sekilasa alisema kampuni hiyo itafanya kazi sambamba na jeshi la polisi ili kuhakikisha kuwa usafiri katika jiji la Dar es Salaam unaboreka.
Alisema ubabaishaji katika shughuli za kuendesha biashara ya daladala umefikia mwisho na ............
SOURCE: NIPASHE
Tujadili..
Pamoja na nia nzuri ya SUMATRA lakini hii inaonesha au ina maanisha nini?
Kwa mtazamo wangu ni kuwa, kwanza ni kama vile SUMATRA na Jeshi la polisi wameshindwa kabisa kuwadhibiti Daladala na hii ni dalili ya kusarenda kwa Daladala, jambo ambalo nathani halina mustakbali mwema mbeleni, swali ni kwa vipi au ni kweli kuwa wameshindwa au kuna sababu zilizojificha nyuma ya kushindwa kwao?
Pili naamini Jeshi la polisi linawatendaji wengi na nguvu za kisheria ama mabavui kuliko Majembe lakini bado limeshindwa kuwadhibiti, Je Majembe wana watendaji wa kutosha? na je watakuja na mbinu gani mpya kuweza kuwadhibiti hao daladala? kwani vituo ni vingi na Daladala ni nyingi mno.
Tatu mkataba huu ukoje? ni nani analipa gharama za hawa Majembe na kwa kiasi gani kwa siku ama kwa mwezi na atimaye mwaka wa mkataba? pengine ni hao hao daladala, kwa maana faini yasemekana yaanzia laki 2 papo hapo, lakini je SUMATRA si walikuwa na faini zinaanzia laki mbili na nusu? mbona hazikusadia kuondoa matatizo haya?
Wasiwasi wangu ama uzoefu onaonesha kuwa kadri faini ama kodi inapokuwa kubwa ndipo mwanya wa rushwa nao unapokuwa mkubwa pia, ni mtumishi gani atakataa kupokea elfu kumi au hamsini ili mtuhumiwa asilipe laki mbili za halali? iwapo askari wa barabarani na sumatra walishindwa ama walilazimishwa kushindwa sembuse Majembe? sijui labda hawa Vijana wa Kazi ni kizazi kipya katika Bongo chaweza kufanya miujiza, Tusubiri tuone.





