December 24, 2009

YANGA OYEEEEEEEEEEEE

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
HATIMAYE MPAMBANO WA WATANI WA JADI NUSU FAINALI KOMBE LA TUSKER UMAMALIZIKA BAADA YA KUCHEZWA KWA DAKIKA 120 NA YANGA KUIBUKA KIDEDEA KWA KUIFUNGA SIMBA BAO MBILI KWA MOJA 2 - 1, MABAO YA YANGA YAMEFUNGWA NA JERRY TETEGE NA SHAMTE ALLY NA LA KUFUTA MACHOZI LA SIMBA LILILOPATIKANA KWA NJIA YA PENATI LIMEFUNGWA NA HILAL ECHESER. HABARI NDO HIYO ANGALAU SIKUKUU INAKUWA NZURI AU MWASEMAJE, POLENI SANA WEKUNDU WA MSIMBAZI HUO NDO MPIRA

Kufungwa mtu ni lazima leo.

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
Mpambano wa watani wa Jadi utachezwa muda c mrefu, mashabiki na wapenzi wa timu zote viroho viko juu kwa mpambano huu, japo ni wa kombe la Tusker lakini wakutanapo watani hawa wa jadi huwa hakuna cha mechi ya kirafiki wa cha nini kwa timu mbili hizi ni kama fainali tu. Yetu macho tu na Dakika tisini ndo mwamuzi, tofauti na mechi zote hii ni lazima afungwe mtu, yaani hakuna droo hapa. kaaaaaazi kweli kweli.

December 23, 2009

To all my valuable readers and visitors

Reactions: 
1 Je wasemaje?/COMMENTS

To all my esteemed and valuable visitors

Reactions: 
1 Je wasemaje?/COMMENTS

December 21, 2009

Cheka uongeze siku duniani teh! teh! teh!

Reactions: 
2 Je wasemaje?/COMMENTS

Picha hii yashika nafasi ya tano duniani.

Reactions: 
1 Je wasemaje?/COMMENTS
Shirika la habari la Uholanzi Radio Netherlands Worldwide limeipa shavu picha hii na kushika nafasi ya tano katika shindano lake la hivi karibuni.

An international jury of leading journalists has evaluated all the eligible entries, and the winner is Veena Krishna (39) from Mumbai. Her entry ‘To make the girl-child live’, consisting of a photograph and accompanying text, tackles the issue of child policy in India, where girls are considered inferior to boys. Her prize is an all-expenses-paid week’s internship at RNW’s international newsroom in the Netherlands.

RNW received 535 entries from around the world in response to the question ‘Share your world with the world... What do you want to change?’. The majority of entries came from Arabic and English-speaking countries and from Indonesia. The international jury of leading journalists awarded the second prize to Bai Xiaoci from China and the third prize to Eric Barrantes Garcia from Peru.

Jury chairman Rik Rensen, RNW’s editor-in-chief, commented that Veena Krishna’s seemingly simple photograph reveals an entire hidden world: “Her entry made a powerful impression on me, because it conceals a dramatic story.”

Other prizes Second prize, a digital video camera, goes to Bai Xiaoci from China for his photograph of a man carrying a huge load of chemical drums on his bicycle. Xiaoci’s photograph reminds us that China’s economic development has often taken place at the expense of the environment.

Eric Barrantes Garcia from Peru won the third prize, the choice of a reference book in the field of journalism. The jury noted that his photograph addresses three issues: the problem of poverty and its social consequences, social injustice and the precarious condition of this kind of construction in case of heavy rainfall caused by climate change.

The other nominees are:

December 18, 2009

Timu ya Eritrea yaingia mitini

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
Wachezaji wapatao 12 wa timu ya Eretrea iliyokuwa nbchini Kenya kushiliki michuano ya Challange yasemekana wameingia mitini au hawajulikani walipo. isome hapa.

Dr Shein ahutubia COP 15

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
Mamaku wa Rais Dr Shein akihutubia Mkutano wa Kimataifa wa Tabia Nchi huko Copenhagen jana usiku.

December 15, 2009

Dr Shein awasili Copenhagen

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
Wakti jana mkutatano wa mazingira huko Denmark ulipata kwikwi kwa muda baada ya nchi za Dunia ya tatu zikiongozwa na Africa kugomea kutoa ushirikiano, leo viongozi mbalimbali wameanza kuwasili kwaajili ya mkutano wa viongozi wa dunia kuhusu mabadiliko ya tabia nchi ambao utafanyika kesho.
Tanzania inawakiliswa na Makamu wa Rais Dr Ali Mohamed Shein ambaye ndo anawasili muda huu.

Wako wapi hawa Jiang?

Reactions: 
1 Je wasemaje?/COMMENTS
Jiang aka Mama na mwana wawakumbuka hawa? na story yao je? na hivi sasa wako wapi?

Finished my course......

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS

I have fought a good fight, I have finished my course, I have kept the faith.

2 Timothy iv. 7

December 12, 2009

Hoseah na Feleshi, nani atwambii ukweli?

Reactions: 
1 Je wasemaje?/COMMENTS
Katuka mila nyingi za kiafrica ama kibantu ni utovu wa nidhamu kumwita mkubwa wako MWONGO ni kitendo cha dharau, nami nisingependa kabisa kuwa mtovu wa nidhamu, sipendi niwakosee heshima wakubwa zangu, lakini pamoja na ukweli huo bado nahisi kwa haya yaliyojili hivi karibuni kati taasisi nyeti nchini yaani PCCB na DPP na majibizano yaliyolipotiwa, nahisi kuna mtu atwambii ukweli hapa, sijui yupi na sababu ip lakini hii ndo hisia. MKURUGENZI wa Mashitaka nchini (DPP), Eliezer Feleshi, amekanusha tuhuma kuwa ofisi yake imekalia mafaili 60 ya kesi zinazohusu rushwa na kueleza kwamba kamwe hafanyi kazi kwa shinikizo. Feleshi alikuwa akijibu taarifa zilizoandikwa jana na vyombo vya habari zikimkariri Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hoseah, akiituhumu Ofisi ya DPP kwa kukalia mafaili hayo ya kesi za rushwa. “Ni kweli napokea mafaili mengi kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Takukuru na Polisi, siwezi kueleza ni mangapi kutoka Takukuru yapo katika ofisi yangu, lakini jambo moja muhimu la kuzingatia ni kwamba sifanyi kazi kwa shinikizo, tunaongozwa na sheria na ndizo zinazozingatiwa,” alisema DPP. SOURCE. HABARI LEO

Membe amwita Balozi wa Canada

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
Kufuatia tukio la Afisa ubalozi wa Canada kuwatemea mate Askari Polisi na Mwandishi wa habari hivi karibuni kitendo ambacho kimechukuliwa kuwa ni cha dharau kubwa si tu kwa watendewa bali kwa Taifa pia, Waziri wa Mambo ya Nje amwemwita balozi wa Canada ofisini kwake.
The Tanzanian Foreign Ministry has summoned the Canadian High Commissioner after a Canadian diplomat allegedly spat at a policeman and a journalist.

A Tanzanian ministry spokesman condemned the incident, saying that his country is considering whether to expel the diplomat concerned. Reporters say the diplomat, angered by a traffic jam, wound down his window and spat at the policeman on duty.
The Canadian High Commission in Dar es Salaam said it was investigating. Tanzania's foreign ministry says the incident was a humiliation not just for the police officer and journalist concerned, but for the entire country.

December 7, 2009

Rais anaposafilia daraja la tatu.

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
President Yoweri Museveni flew back home from the US on Saturday night on a commercial airliner in the economy class.
According to Tamale Mirundi, the president’s spokesman, Museveni’s decision to fly on a British Airways flight in economy class was a signal to the Government officials that undertaking official trips in business and first class may be no more.
“If the President can travel economy class, it is an indication that spending colossal sums of money by Government officials on business and first class is going to stop. He wanted to find out the difficulties travellers face in flying economy class and why Government officials complain about the economy class,” said Mirundi.
The President’s spokesman stressed that there was no problem with the presidential jet. “We don’t have any problem with the jet. He just wanted to travel as an ordinary passenger.”

Sherehe za miaka 10 ya Nile Basin zaanza rasmi Dar

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
Makamu wa Rais Dk.Ali Mohamed Shein akiwa ktk picha ya pamoja na mawaziri wa maji wa Bonde la Mto Nile mara baada ya kufungua mkutano wa siku tatu wa Nchi Shiriki za Bonde la Mto Nile (Nile Basin Initiative) ulioambatana na sherehe za kutimia miaka 10 tokea kuundwa kwa Ushirika huo, mkutano huo utakaojadili juu ya mafanikio yaliyopatikana tokea kuanzishwa kwake, changamoto pamoja na matarajio ya baadae leo katika kituo cha mikutano cha Mlimani City jijini.

December 6, 2009

Wizara inapogeuzwa mradi wa familia

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
Education ministry turns family affair THE Government is investigating the education ministry permanent secretary, Francis Lubanga, over allegations of nepotism, fraud, malicious dismissal of subordinates and abuse of office levelled against him. The report accuses Lubanga of replacing several employees in key positions with his relatives. It lists 30 employees at the ministry who are related to Lubanga, the majority of whom are said to have been irregularly hired or promoted. Among those he allegedly hired are his sister, son, daughter, wife, uncle, nephew, as well as in-laws and other close family members. The 14-page dossier says Lubanga’s relatives have been put in charge of multi-million projects in different departments within the ministry. source : Sunday vision

Kagame akutana na CEO wa TIGO

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
President Paul Kagame yesterday held talks with the Chief Executive Officer of Millicom International Cellular (MIC), Mikael Grahne, the parent company of Tigo, a telecom service provider.

Kanisa USA lateua Shoga mwingine kuwa Askofu

Reactions: 
1 Je wasemaje?/COMMENTS
Dayosisi moja mjini Los Angeles, Marekani, imemchagua askofu, na ambaye waziwazi inafahamika anahusishwa na mapenzi ya jinsia moja.

Huyu ni askofu wa pili katika kanisa la Anglikana na anayehusishwa na mapenzi ya jinsia moja, jambo ambalo limesababisha mgawanyiko mkubwa katika kansia hilo.

Mchungaji Mary Glasspool, kutoka Baltimore, alichaguliwa kama askofu msaidizi, ingawa anahitaji kuungwa mkono na kanisa la Episcopal (Anglikana) nchini Marekani ili kikamilifu kukabidhiwa mamlaka hayo.

Gene Robinson (pichani) alikuwa wa kwanza kuchaguliwa kama askofu wa mapenzi ya jinsia moja, katika dayosisi ya New Hampshire, miaka sita iliyopita, na jambo hilo likasababisha mgawanyiko katika kanisa Anglikana.

source: BBC

December 3, 2009

Watanzania wanaisaidia Al Shabaab??

Reactions: 
1 Je wasemaje?/COMMENTS
Gazeti la leo la New Vission linataja Tanzania kuwa ni moja ya nchi ambazo Al Shabaab imechukua ama kusajiri Wabongo ili kuiangusha serikali ya Somalia kulingana na Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Afrika Wafula Wamunyinyi.
UGANDANS are among the foreigner militants fighting alongside Al Shabaab to overthrow the Somali government, the African Union Mission in Somalia has said.
The AU special representative for Somalia, Wafula Wamunyinyi, also listed Pakistan, Afghanistan, Bangladesh, America, Tanzania, Kenya and Sudan as countries where Al Shabaab has recruited.
Speaking at the opening of a confidence building workshop for the Somali peacekeeping mission, dubbed AMISOM, yesterday, Wafula pointed out that the presence of Al Qaeda in Somalia is real and the world should be put on notice.
He observed that the managers and operational commanders of Al Shabaab belong to Qaeda.
“If we don’t put our hands together, Al Qaeda will take over Somalia considering the grip they have on the country,” Wafula said

December 1, 2009

Familia ya Kingunge kunyang'anywa maegesho ya jiji

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS

THE Dar es Salaam City Council is to take over operations of the National Parking System after expiry of the contract of the current operator, in a move aimed at studying the trend of the business, the City Director, Mr Bakari Kingobi, said.

The announcement comes shortly after the City fathers took over operations of Ubungo Bus Terminal (UBT), following the expiry of the Smart Holding Company's contract.

Owners of the Smart Holding Company are linked with the National Parking System.

Owners of the two companies are also connected to another company which is alleged to have won the tender to run Machinga Complex in the city.

source: Daily News

Mawaziri na Makatibu Wakuu kunywanganywa Blackberry.

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS

MPs on the public accounts committee yesterday ordered that ministers, permanent secretaries and MPs who got Black-Berry phones for use during the Commonwealth meeting in 2007 either pay for them or return them.

Meeting officials from the Ministry of Information and Communication Technology over the CHOGM expenditure, the MPs wondered why the ministry purchased 450 Black-Berry phones at a cost of over sh500m and distributed them free of charge.

The ministry’s permanent secretary, Jimmy Samanya, said the phone recipients included directors in several ministries, commissioners and chairpersons of parliamentary committees.

After CHOGM, he explained, the ministry debated whether to withdraw the phones but the decision was pending so he could not act. Now that the committee has directed, he said, he would seek payment or withdraw them.

But the MPs expressed concern that some officials could have sold off the phones while others may have been dropped from service or moved to new offices.

“Didn’t you think you were violating Government laws by buying equipment and donating it?” asked the lead counsel, Tom Kazibwe (NRM).

icheki hapa

Ufisadi wa kila aina Africa, je tutafika kweli?

VIJANA WA KAZI WATAWEZA KUDHIBITI DALADALA?

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), umeipa rungu kampuni ya mnada ya Majembe Auction Mart kusimamia shughuli zote za usafiri wa daladala jijini Dar es Salaam.

Kampuni hiyo imepewa jukumu la kuhakikisha kuwa inawashughulikia madereva wachafu, wanaokatisha ruti, wanaopandisha nauli wakati wa usiku pamoja na kupita kwenye hifadhi ya barabara.

Aidha, makosa mengine ambayo kampuni hiyo itayashughulikia ni pamoja kukamata magari yaliyotoboka chini, wanayotoa moshi na mambo mengine yote yanayovunja sheria za barabarani.

Uamuzi huo ulitangazwa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra, Israeli Sekilasa, alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.

Sekilasa alisema kampuni hiyo itafanya kazi sambamba na jeshi la polisi ili kuhakikisha kuwa usafiri katika jiji la Dar es Salaam unaboreka.

Alisema ubabaishaji katika shughuli za kuendesha biashara ya daladala umefikia mwisho na ............

SOURCE: NIPASHE

Tujadili..

Pamoja na nia nzuri ya SUMATRA lakini hii inaonesha au ina maanisha nini?

Kwa mtazamo wangu ni kuwa, kwanza ni kama vile SUMATRA na Jeshi la polisi wameshindwa kabisa kuwadhibiti Daladala na hii ni dalili ya kusarenda kwa Daladala, jambo ambalo nathani halina mustakbali mwema mbeleni, swali ni kwa vipi au ni kweli kuwa wameshindwa au kuna sababu zilizojificha nyuma ya kushindwa kwao?

Pili naamini Jeshi la polisi linawatendaji wengi na nguvu za kisheria ama mabavui kuliko Majembe lakini bado limeshindwa kuwadhibiti, Je Majembe wana watendaji wa kutosha? na je watakuja na mbinu gani mpya kuweza kuwadhibiti hao daladala? kwani vituo ni vingi na Daladala ni nyingi mno.

Tatu mkataba huu ukoje? ni nani analipa gharama za hawa Majembe na kwa kiasi gani kwa siku ama kwa mwezi na atimaye mwaka wa mkataba? pengine ni hao hao daladala, kwa maana faini yasemekana yaanzia laki 2 papo hapo, lakini je SUMATRA si walikuwa na faini zinaanzia laki mbili na nusu? mbona hazikusadia kuondoa matatizo haya?

Wasiwasi wangu ama uzoefu onaonesha kuwa kadri faini ama kodi inapokuwa kubwa ndipo mwanya wa rushwa nao unapokuwa mkubwa pia, ni mtumishi gani atakataa kupokea elfu kumi au hamsini ili mtuhumiwa asilipe laki mbili za halali? iwapo askari wa barabarani na sumatra walishindwa ama walilazimishwa kushindwa sembuse Majembe? sijui labda hawa Vijana wa Kazi ni kizazi kipya katika Bongo chaweza kufanya miujiza, Tusubiri tuone.

November 30, 2009

Je kuna mdau yeyote aweza kumbuka lilikuwa wapi hili?

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
Hili ni tangazo katika mlango wa chumba cha mkutano katika moja ya ofisi nyeti hapa Jijini Dar enzi hizo simu zote za mkononi zilikuwa zaitwa mobitel,
swali la kizushi, Je kuna awezaye kutueleza lilikuwa ofisi gani?
Mshindi atapata zawadi nono na kumaliza mwaka huu meno nje.

Master Bedroom ya Mo Dewji

Reactions: 
3 Je wasemaje?/COMMENTS
Mwanablog, Bizinezmen, Mwanamichezo na Mbunge Mo Dewji akiwa chumbani kwake Singida. mtembelee hapa.

Maafisa Habari walipozuru Ngorongoro Crater

Reactions: 
0 Je wasemaje?/COMMENTS
Maofisa habari na Mawasiliano wa Wizara, Taasisi, Idara zinazojitegemea na Wakala wa Serikali wakiwa katika picha ya pamoja ndani ya bonde la hifadhi ya Ngorongoro juma lililopita.