November 6, 2009
Kamati ya Mzee Mwinyi kuibua mengi CCM.
November 3, 2009
PCCB or HOSEAH vs WABUNGE, picha laendelea
Wengine waukumiwa kunyongwa kwa kuuwa ALBINO
Television footage showed the men, who killed Lyaku Willy and removed his head and legs, leaving the courtroom in Shinyanga region under heavy police escort.
Willy's killing was one of a spate of attacks on the country's estimated 200,000 albinos in the past two years, mostly in the remote northwest of the country near Lake Victoria, where superstition runs deep.
Their body parts are prized in some regions of Tanzania, where witchdoctors say albinos -- who lack pigment in their skin, eyes and hair -- bring luck in love, life and business.
October 28, 2009
Mchakamchaka, mazingaombwe yangalipo shuleni siku hizi??
Hongera Tamila & Sarah
Wabongo wanakimbia ARV?????
TANZANIA: Low uptake of ARVs hampering universal access
October 26, 2009
Tanzaniaaa, Tanzaniaaaaaa nakupenda kwa ...........
TFF, WIZARA YA HAB.... MICHEZO MPO?
October 23, 2009
WAPIGA KURA HEWA MAMILIONI UGANDA WAGUNDULIKA
Kiwira kurejeshwa, je ni mwanzo au mwisho wa picha????
October 22, 2009
Dr Shein @ NIMR
October 8, 2009
MADAKTARI WA JK WATOA TAARIFA
October 7, 2009
inakuwa vipi mchumba anapokuwa changudoa??
.........Prof Mukandala awatwangia
wakti Idd Simba awabeep wabunge.........
TANGAZO LA MKUTANO wa WABONGO SAUZI
Telephone:012- 342 4371/93 Fax: 012 – 430 43 83E-mail: tanzania@cis.co.za Website: www.tanzania.org.za | 822 GEORGE AVENUE, P.O. BOX 56572, ARCADIA 0007, PRETORIA |
TANGAZO LA MKUTANO WA RAIA WA TANZANIA TAREHE 24 OKTOBA, 2009
October 2, 2009
KWI KWI
September 24, 2009
Mbagala kwalipuka tena!! wawili wafariki dunia
Mpiga picha wa Nipashe Selemeni Mpochi akipata snap za majeruhi huko Mbagala.
September 23, 2009
Mauaji ya Albino - Watatu wahukumiwa kunyongwa
September 19, 2009
"Njia yako kuelekea juu yawezekana iko chini"
NEC vs ZEC picha lingine???
September 18, 2009
Albino ajisaalimisha kwa Mganga wa Kienyeji!!
September 16, 2009
Bibi miaka 107 atafuta CHUO cha 24
September 15, 2009
10 things you should know before travelling to Tanzania
September 10, 2009
JK-"Sina urafiki wala Undugu na Fisadi"
JK Live
Hizi ni baadhi ya nukuu muhimu
Richmond na Kagoda
“Kwenye kupambana na Ufisadi na rushwa sina urafiki wala ndugu”
Ni kweli
Ni kweli Kuna matatizo katika kuwachukulia hatua maafisa waliohusika na sakata zima hili kikao cha bunge cha Novemba kitakuwa na majibu ya hili”
Nyalaka za dini
“Zimetustusha na kutusikitisha
Mafisadi Papa
Mafisadi wakubwa wana maarifa makubwa pia ya kujificha, hataivyo tunafanya juhudi kubwa kupamba nao”
Uhasama wa Wabunge wa CCM
“Kumekuwa na chuki mza wazi kati ya wabunge wa CCM na serikali
Kuacha kinywaji chako kwa ofu kuwa utawekewa kitu kibaya”
Tumeunda timu ya wazee watatu Mzee Mwinyi, Mkapa na Kinana ili kuangalia
Mafuta Zenji
Hatuna sababu ya kulumbana juu ya hili, linajadilika na laweza kuondolewa
Kesi ya Zombe
Sheria imechukiua mkondo wake, lakini sisi
Mikoa ya pembezoni
Kwangu hakuna mikoa ya pembezoni, juhudi za makusudi zinafanywa kuwaunganisha mikoa yote kwa lami, hasa Kigoma, Kagera na Lindi, wamechelewa lakini si kwamba tumewatupa, hakuna tuliyempuuza”
Uhuru wa Vyomba vya habari
“Mfumo wenye uhuru wa kusema, watu kutoa maoni
Migomo
“Migomo ni haki ya wafanyakazi, hainisumbui”
Kuwaziba midomo wabunge wa CCM
“Hakuna jitihada zozote za kuwaziba wabunge midomo, tunataka waseme, waikoseo serikali
Shule za kata
“Ni kweli kuna tatizo la utekelzaji wake lakini tunafanya jitihada za dhati kuondoa
Maisha Bora kwa kila Mtanzania
“Kwetu hii ni mambo mawili, kwanza huduma za kijamii na kiuchumi na pili kuongezeka kwa kipato, tunajitahidi katika huduma za jamii kama afya, elimu, maji na miundombinu na katika kuongeza kipato tatizo kubwa ni mfumuko wa bei, hili ni tatizo kubwa sana, na kiini chake ni bei za vyakula, tunapamba nalo hili tulikuwa na SDP na sasa tumeanzisah Kilimo Kwanza lengo likiwa kujaribu kupambana na hili.”
Safari za Nje.
“Nasafiri kwa manufaa ya Taifa, Misaada yote tuliyopata inatikana na safari hizi, ukijifungia ndani utapata wapi haya? Zinafaida nyingi
Muulize Rais
“Mfumo huu ni kitu kipya na kimekuwa na manufaa
HAYA NI BAADHI YA YALE NILIYOWEZA KUYANASA NA KUNUKU.


