December 1, 2010

The Word became Flesh"

“In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God. He was with God in the beginning. The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” - John 1:1-2, 14

UMASIKINI au UTAJIRI ni maamuzi binafsi?

Ukiangalia mchoro huu wa Msanii Maembe kwa haraka uwezi kuona picha iliyopo hapo, lakini ukitulia ukaangalia tena na tena utaona picha fulani hapo ambayo waweza itafsiri upendavyo na mara utakapoziona picha hazitaondoka akilini, kila uangaliapo mchoro huo zitakujia haraka sana.
Hivyo ndivyo ilivyo kwa fursa nyingi na hasa katika ulimwengu huu wa ICT tuishimo, si rahisi mtu kuona fursa mahali fulani hata kama utamlazimisha vipi, ni mpaka pale atakapoamua mwenyewe kuangalia tena na tena ndipo ataiona.
Biblia yasema- "Mauti na Uzima huwa ndani ya uweza wa ulimi,"
Je si ni sahihi pia kusema UMASIKINI na UTAJIRI huu ndani ya uweza wa ULIMI?
Je si ni kweli kufa masikini ni uamuzi wa mtu?
Waweza jitamkia UZIMA na UTAJIRI ungana na walio AMUA kuukataa umasikini HAPA

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...