August 15, 2011
Bunge for sale
This image of "Photo n' Art" of Tanzania Parliament is for sale,
Please call +255784 475576 and give the price.
Please call +255784 475576 and give the price.
Kulikuwa na sababu gani kupandisha mafuta???
Kuna mambo mengine huwa hayaiingii akilini haraka hasa kwa watu wenye akili za kawaida kama za kwetu, sielewi uamuzi ule uliosabibisha usumbufu usio na sababu yoyote nchini mwetu ulikuwa na maana gani au manufaa gani kwa mtu mmoja mmoja ama taifa, sielewi.
Kwa vipimo vyovyote vile manufaaa ya uamuzi ule ni madogo kuliko madhara yake, kwanini? mara baada ya uamuzi wa kushusha bei ya mafuta (kwa vigezo vyovyote vilivyotumika, ama vya kisiasa) tulishuhudia mambo ambayo hatukuwai kushuudia katika sekta hii, vituo viligoma kuuza, makampuni ya mafuta yakagoma kupeleka mafuta vitioni, kiongozi wao akatoa sharti la masaa 24 (kwa kimombo - ultimatum) iongeze bei ama sivyo...., matokeo yake ni kukosekana kwa mafuta katika sehemu kubwa ya nchi na pale yalipopatikana yaliuzwa kwa bei ya kuruka, kuna taarifa kuwa baadhi ya sehemu ilifika Sh 5,000 kwa lita moja na mpaka sasa haijatengemaa.
leo hii wiki moja tu baada ya kasheshe yooote hiyo tunaambiwa yamepanda tena, sababu pesa yetu ya "madafu", huku bado hata machungu ya uamuzi wa mwazo hayajaisha, baadhi ya mikoa mpaka sasa bado haijapata mafuta, aliyepewa adhabu wala hajaanza kui-feel, na hali ya mafuta haijatengemaaa, twaambiwa ni kushuka kwa thamani ya shilingi! mtu atajiuliza, lini shilingi yetu iliwai kupanda???, je kulikuwa na sababu gani kushusha bei na kuleta usumbufu huu?? je si ni rahisi mtu kuunganisha moja na moja ukapata mbili? kwamba haya ni matokeo ya ile ultimatum ya mabwanyenye wa mafuta????
Tutafakali!!
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...